Friday, 7 November 2014

Wanwake wahimizwa kugombea uchaguzi serikali za mitaa

 Wanawake wajasiliamali wa halmashauri ya manispaa ya SUMBAWANGA mkoani RUKWA wenye sifa za kugombea uongozi wameshauriwa kugombea katika uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiliamali wa halmashauri ya manispaa ya SUMBAWANGA mkoani RUKWA SKOLASTIKA MANDONDO na kuwataka kujitokeza kwa wingi ili endapo watachaguliwa wawe chachu ya maendeleo ya wanawake na jamii kwa ujumla

Mbunge wa jimbo la SUMBAWANGA mjini EAISHI HILAL ametoa msaada wa shs milioni 15 kwa ajili ya kuendeleza mitaji ya kikundi cha wajasiliamali cha NYOTA na kueleza kwamba haki za kimsingi za wanawake katika jamii zitapiganiwa na wanawake wenyewe bila kusubiri kuonewa huruma au upendeleo wa aina yoyote ile

0 comments:

Post a Comment