![]() |
LOWASSA ametoa wito huo jijini DSM wakati akizindua helkopta iliyonunuliwa na mchungaji JOSEPHAT GWAJIMA wa kanisa la saa ya ufufuo na uzima itakayotumika kusaidia jamii pindi yanapotekea majanga mbalimbali kama vile mafuriko na kuhudumia jamii katika maeneo yasiyofikika kwa urahisi.
HELKOPTA hiyo yenye namba 5H OLY SAA YA UFUFUO imezinduliwa na helkopta zingine tatu zinatarajiwa kuzinduliwa mwakani kwa lengo la kuhudumia jamii




0 comments:
Post a Comment