Wednesday, 12 November 2014

Lilian Kamazima ambaye ni Miss Tanzania 2014 apatwa na kashfa ya uraia na kudaiwa anatoka Rwanda


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjK0mX3Wb0vh1vzCMgNKoN35Tij_EbTYyCuomGkESo79Wg9TGC5PtlUantkjpoqZik8yC9MLymNwPI6mUsbQ2cNWeGv0yZhnzVNPi99M_WB0cr4eVjqc4lYEjtX7Y69zoZRyqfE4gPLRT4/s1600/Miss+Tanzania+Lilian+Kamazima__Follow+us+on+Facebook,+Twitter+and+Instagram+@TubongeTZ.jpg
Miss Tanzania 2014 Lilin Kamazama
 
 Baada ya Sitti  Abbas Mtemvu  kuvua taji kwa tuhuma za kudanganya umri  na  kupewa  taji  hilo aliyeshika nafasi ya pili  kwenye shindano hilo la Miss Tanzania Lilian Kamazima mengine ya ibuka  kuwa siyo raia wa Tanzania na  kwamba  anatokea Rwanda


Muandaaji wa shindano hilo  Hashimu  Lundenga  amesema kuwa tetesi hizo siyo za kweli, “Sisi tunajua Lilian ni Mtanzania,  tunaangalia cheti cha kuzaliwa alichotuletea  kamati yetu ambacho kinaonyesha alizaliwa Tanzania, pia ni Mtanzania, hayo yanayosemwa kwamba Lilian siyo Mtanzania hatuyajui kabisa”, alisema Lundenga


?'

0 comments:

Post a Comment