![]() |
| Rais wa Marekani Barack Obama |
Rais Obama amesema awamu ya kwanza
ilikuwa ni kwa ajili ya kuandaa serikali ya pamoja na yenye kuaminika
nchini Iraq. Kitu ambacho amesema kimefanyika, na kuongeza kwamba
muungano huo wa kijeshi unaopambana dhidi ya kundi hilo la wapiganaji
unajiandaa kwa mashambulizi.
Kwa sasa tupo katika nafasi ya kuanza tena mashambulio kama ya awali. Mashambulizi ya anga yaliyofanywa yalifanikiwa katika kushusha uwezo wa kundi hilo la ISIL na kupunguza nguvu hatua waliyopiga.
Sasa tunachohitaji ni jeshi la ardhini, Jeshi la ardhini la Iraq, litakaloweza kuwarudisha nyuma..'' Nchini Iraq kwenyewe maafisa wanasema jeshi limekuwa likipiga hatua katika jihada za kuwaondoa wapiganaji hao wa kiislamu katika mji wa Baiji.




0 comments:
Post a Comment