![]() |
Wakizungumza katika mkutano wa kwanza wa vyuo vya usafiri wa anga barani Afrika uliomalizika leo mjini Unguja, wadau hao wamesema huduma hizo zinapaswa kuboreshwa ili kukidhi mahitaji ya soko la safari za anga kimataifa.
Aidha wamependekeza kuundwa kwa umoja utakaoweza kusaidia kufuatilia mitaala ya utoaji wa taalum ya usafiri wa anga ambayo italiwezesha bara la Afrika kuhimili ushindani katika soko la kimataifa la safari za anga.




0 comments:
Post a Comment