This is default featured post 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured post 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured post 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured post 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured post 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Wednesday, 8 October 2014
kenyatta ana kwa ana na ICC
Sunday, 5 October 2014
Ngome nyengine ya Al-Shabaab yaanguka
![]() |
| Mwanajeshi wa AU akiweka doria |
Wenger:Costa ni moto wa kuotea mbali

Mwigulu afunguka urais 2015
![]() |
| Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba |
Jeshi la Polisi limetumia maji ya kuwasha kuwatawanya wanawake wafuasi wa Chadema waliokuwa wakijiandaa kuandamana hadi ikulu jijin Dar es Salaam.
Wazee waiomba Serikali kuwachukulia hatua watu wanao wanyanyasa katika kupata huduma za kijamii,Mkoani kagera.
Jamii ya Wafugaji yaiomba serikali kuwajengea Uwezo wa kuhimili Mifugo yao Ili kukabiliana na Hali ya Hewa.
Chadema Chalituhumu Jeshi La polisi Nchini Chadai Jeshi hilo linafanya Kazi ya Siasa.
Wananchi arumeru walalamikia Hujuma kwenye Miundombinu ya Maji.
Mwanaume mkazi wa Nane nane Morogoro mwenye Umri wa Miaka 53 ambaka Mtoto wa Miaka 7 nakumsababishia Maumivu.
Man City yaichapa Aston Villa nyumbani kwao bao 2-0
Aston Villa: Guzan 8, Hutton 5, Senderos 6.5, Baker 7, Cissokho 6.5, Cleverley 5.5, Westwood 5, Delph 7, Richardson 7 (Grealish 71), Weimann 6 (Benteke 61, 6.5), N'Zogbia 6.5 (Bacuna 71)
-
Saturday, 4 October 2014
SIMBA YABANWA MBAVU TAIFA
Dk 90, Simba inapata kona tatu mfululizo, lakini hakuna lolote.
Dk83, Maguli tena anashindwa kufunga baada ya kupiga kichwa, mpira unapaa puuu.
Dk 77 Saidi Mohamed anapigwa shuti, linaokolewa na kuwa kona.
Dk 72, Maguli anapiga shuti kali lakini linadakwa kiufundi.
Dk 65, Okwi anapiga mpira unagonga mwamba na kutoka nje.
Dk 62, Mobi anapiga shuti lakini linatoka juu kidogo juu ya lango la Simba.
Dk 61, Ndemla anapiga shuti kali lakini linaguswa na kupaa nje( anagusa mchezaji mwenzake)
Dk 59, Okwi tena anashindwa kufunga baada ya mpira mzuri wa kona kumkuta akiwa pekee...Stand wanaonekana kujilinda zaidi.
Dk 58, Tambwe anapiga kichwa safi kabisa lakini kipa wa Stand anaugusa na unagonga mwamba na kurudi uwanjani.
Dk 56, Simba ndiyo wanashambulia zaidi, nafasi nyingine anapoteza Okwi.
Dk 52 Miraji anafanya kazi ya ziada kuutoa mpira nje na kuwa kona, shambulizi halina madhara.
Dk 46, Simba wafanya sahambulizi na shuti alilopiga Okwi linaokolewa na kuwa kona isiyo na msaada.
Sikukuu ya EID EL HAJI: Bei ya mbuzi na kondoo jijini DSM imepanda maradufu
Katika soko la mbuzi la Vingunguti , bei imepanda kutoka shilingi elfu sitini kwa mbuzi au kondoo mmoja hadi shilingi laki moja na ishirini ambapo baadhi ya wachuuzi wa soko hilo wamesema mauzo yameongezeka kutokana na mahitaji makubwa ya wanyama hao.
Hata hivyo wateja wa soko hilo wamesema bei hiyo ni kubwa kupita kiasi jambo ambalo linaweza kusababisha baadhi ya waislamu kushindwa kutimiza ibada muhimu ya kuchinja
SERENA WILLIAMS ajitoa katika mashindano ya wazi ya CHINA kutoka na kuumia goti la kushoto
![]() |
| SERENA WILLIAMS |
Mchezaji namba moja kwa ubora DUNIANI katika mchezo wa tenesi SERENA WILLIAMS amejitoa katika mashindano ya wazi ya CHINA kutoka na kuumia goti la kushoto katika mguu wake.
Hii ni mara ya pili kwa mchezaji huyo kujitoa katika mashindano nchini CHINA baada kujitoa katika mashindano ya WUHAN kutoka na kuumwa wiki iliyopita.
Mpinzani wake katika hatua ya mtoani Sam Stosur, ambaye ni bingwa wa mashindano ya wazi ya US mwaka 2011 anatinga moja kwa moja hatua ya robo fainali.
Pia dada yake mchezaji VENUS amejitoa katika mashindano hayo kutokana na kuugua
TFF YAANZA KUSHUHULIKIA MALALAMIKO YATIKETI ZA KIELEKTRONIKI
Shughuli za binadamu lazima zizingatie kuendeleza uhai
![]() |
| Uharibifu wa mazingira |
Taasisi ya Raslimali za Afrika ya Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa (UNU-INRA) yenye makao makuu nchini Ghana, wiki iliyopita, iliendesha mafunzo maalumu mjini Lusaka, Zambia, yaliyolenga kuelezea hatari kwa viumbe hai duniani.
Pato la taifa laongezeka
![]() |
| Mkurugenzi wa takwimu za uchumi wa ofisi ya taifa ya Takwimu Morrice Oyuke |
Pato la taifa limeongezeka kutokana na ukuaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini.
Kwa mujibu wa ofisi ya Taifa ya Takwimu, thamani ya pato la taifa kwa robo ya pili ya mwaka huu wa 2014 imeongezeka na kufikia shilingi tirioni 5.40 kutoka shilingi tirioni 5.05 katika kipindi kama hicho mwaka jana wa 2013.
Akielezea ukuaji wa pato la Taifa jijini DSM Mkurugenzi wa takwimu za uchumi wa ofisi ya taifa ya Takwimu Morrice Oyuke amesema katika kipindi hicho kasi ya ukuaji wa pato la taifa iliongezeka kwa asilimia 6.9 ikilinganishwa na kasi ya asilimia 7.6 katika kipindi kama hicho mwaka jana.
Amesema shughuli za mawasiliano, biashara za rejareja na jumla ziliongoza kwa kuwa na kasi kubwa ya ukuaji na shughuli za misitu na uwindaji ziliongoza kwa kuwa na kasi ndogo ya ukuaji katika kipindi hicho
















