Wednesday, 17 September 2014

SIMBA SC KUJIFUA LEO ZENJI, KUIVAA COASTAL UNION YA TANGA SIKU YA JUMAPILI


Wachezaji wa Simba SC wakifanya mazoezi Uwanja wa Chuo Kikuu cha Chukwani, Zanzibar asubuhi ya leo kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inayoanza mwishoni mwa wiki. Simba SC iliyoweka kambi visiwani Zanzibar, itafungua dimba na Coastal Union ya Tanga Jumapili Uwanja wa Taifa

0 comments:

Post a Comment