Wednesday, 17 September 2014

MAN UNITED KULA BATA, TIM NYINGINE ZA ENGLAND ZAWA BIZE LIGI YA MABINGWA ULAYA


Wakati timu nyingine za England zikiwa bize na Ligi ya Mabingwa Ulaya wachezaji wa Man United watafanyaje sasa.

Wameamua kula bata tu kama ambavyo imeonekana picha ambayo aliitupia kipa David de Gea akiwa an wenzake wanapata mlo wa usiku jana.
Kipa huyo alikuwa na wachezaji wengine kama Marcos Rojo, Rafael, Antonio Valencia, Andreas Pereira, Anderson, Angel di Maria, Ander Herrera and Juan Mata.

0 comments:

Post a Comment