Wednesday, 17 September 2014

CHEKI, EVRA&TEVEZ WALIVYOSHANGILIA MABAO WAKIWA JUVENTUS


Kwa mara nyingine wachezaji wa zamani wa Man United, Carlos Tevez na Patrice Evra walishangilia pamoja wakiwa Juventus.

Juve iliitwanga Malmo ya Sweden kwa mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa Turin na Tevez ndiye alikuwa shujaa aliyefunga yote mawili.
Wawili hao walikuwa Man United wakati wa kipindi cha Kocha Alex Ferguson.

0 comments:

Post a Comment