This is default featured post 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured post 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured post 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured post 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured post 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, 1 March 2015

Wananchi wa LESOTHO wapiga kura

Wananchi wa LESOTHO wapiga kura
Wananchi wa LESOTHO wamepiga kura kuchagua viongozi wapya wa nchi hiyo ya kifalme. Watu milioni MOJA na LAKI MBILI wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi huo uliohusishavyama 24 vilivyosimamisha wagombea. 

Uchaguzi mkuu ulikuwa umepangwa kufanyika mwaka 2017, lakini tarehe ilibadilishwa baada ya kutokea jaribio la kuipindua serikali miezi sita iliyopita. 

Mwaka jana waziri mkuu wa nchi hiyo THOMAS THABANE alikimbilia nchi jirani ya AFRIKA KUSINI baada askari kuteke makao makuu ya polisi na kuizingira Ikulu ya nchi hiyo. 

THABANE anamshutumu naibu wake MOTHETJOA METSING kwa kupanga njama za kumwondoa madarakani madai ambayo Metsing ameyakanusha. 

Matokeo ya awali ya uchaguzi yanatarajiwa kesho na matokeo kamili yatatolewa Alhamisi ijayo.

Mafuriko yaua 14 na 20 wahama makazi yao nchini MADAGASCAR

Mafuriko yaua 14 na 20 wahama makazi yao nchini MADAGASCAR

Watu 14 wamekufa nchini MADAGASCAR na wengine 20, kuyahama makazi ya kufuatia mafuriko yalisabaishwa na mvua kubwa nchini humo. 


Mafuriko hayo yaliukumba mji mkuu ANTANANARIVO na maeneo yaliyo karibu. Utawala unasema kuwa mvua nyingi siku zijazo huenda ikasababisha madhara zaidi. 

Mvua kubwa imenyesha nchini humo kwa takriban wiki mbili. Mwezi uliopita kimbunga CHEDZA kiliwaua watu 80 nchini MADAGASCAR

Ebola:Makamu wa rais ajitenga S Leone

Ebola Sierra leone.Makamu wa rasi wa taifa hilo amejiweka karantini baada ya mlinzi wake mmoja kuaga dunia
Makamu wa rais nchini Sierra Leone amejiweka kwenye karantini baada ya mmoja wa walinzi wake kuaga dunia kutokana na ugonjwa wa ebola.
Bwana Samwel Sam-Sumana alisema kwamba hataweza kukaribiana na yeyote kwa muda wa siku 21.
Wakati huo huo utawala umerejesha tena vikwazo kufuatia kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa ebola.
Hatua hizo ni pamoja na ukaguzi wa kiafya wa mara kwa mara na kupunguzwa kwa idadi ya watu kwenye magari ya usafiri